Type Here to Get Search Results !

MHANDISI II UJENZI (STRUCTURAL) - 2 POST » Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

 Nafasi mpya ya kazi Serikalini leo | Ajira Utumishi wa Umma | Ajira portal.


JOB DETAILS

POST: MHANDISI II UJENZI (STRUCTURAL) - 2 POST

EMPLOYER: Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

APPLICATION DEADLINE: 2023-04-02


DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i.Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa na Bodi ya Usajili ya Wahandisi (Professional Engineer) ili kupata uzoefu unaotakaiwa;

ii.Kufanya ukaguzi wa barabara na madaraja mbalimbali;

iii.Kuchunguza vyanzo vya ajali barabarani;

iv.Kufuatilia utekelezaji wa Sheria na Kanuni za ujenzi wa barabara;

v.Kutayarisha bajeti ya mwaka ya ujenzi na matengenezo ya barabara na madaraja;

vi.Kusimamia na kuratibu kazi za barabara na madaraja zinazotolewa na Makandarasi; na

vii.Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Msimamizi wake wa kazi. 


QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa  wahitimu  wa  kidato  cha  Nne/Sita  waliofuzu  mafunzo  ya  Shahada/ Stashahada ya Juu katika fani ya Uhandisi Ujenzi waliojiimarisha katika Miundombinu na Uimara wa Majengo (Bachelor of Science in Civil Engeneering - Structural) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali na wawe wamesajiliwa na Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB).


REMUNERATION: MHANDISI II UJENZI (STRUCTURAL)

CLICK HERE TO APPLY

Post a Comment

0 Comments