Type Here to Get Search Results !

Job from NATIONAL AUDIT OFFICE (NAOT) - MKAGUZI WA DARAJA LA II - 10 POST

Job from NATIONAL AUDIT OFFICE (NAOT) - MKAGUZI WA DARAJA LA II - 10 POST


POST: MKAGUZI WA DARAJA LA II

POST CATEGORY(S): ACCOUNTING AND AUDITING

EMPLOYER: NATIONAL AUDIT OFFICE (NAOT)

APPLICATION DEADLINE: 03 June 2021


DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. Kukagua nyaraka za matumizi, maendeleo, amana, wakala, mifuko, miradi maalum na mapato ya Serikali;

ii. Kushiriki kuandaa na kusimamia utekelezaji wa mpango wa kazi wa ukaguzi kila mwaka;

iii. Kushiriki kufanya tathmini ya mpango wa kazi na kupendekeza mabadiliko inapobidi kulingana na tathmini ya taarifa ya utekelezaji ya mpango wa kazi;

iv. Kuhakikisha kuwa hoja na barua za ukaguzi zinatolewa na kushughulikiwa kwa wakati unaotakiwa;

V. Kushiriki kutayarisha na kutekeleza mpango wa ukaguzi (Audit Programme;

VI. Kushiriki kupanga na kuratibu mpango wa kazi za ukaguzi;

VII. Kutayarisha hoja na barua za ukaguzi; na

VIII. Kutunza daftari za kumbukumbu mbalimbali za hesabu katika kituo chake kwa maelekezo ya kiongozi mahali pa kazi.


QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Wahitimu wa Shahada ya Biashara/Sanaa yenye mwelekeo wa uhasibu au Stashahada ya juu ya Uhasibu (Advanced Diploma in Accounting) kutoka vyuo au taasisi yoyote inayotambuliwa na Serikali. 

REMUNERATION: TGS D

CLICK HERE TO APPLY

Post a Comment

0 Comments