Type Here to Get Search Results !

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASWA, MAY 2022

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASWA


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa anapenda kuwataarifu waombaji waliokidhi vigezo kufika kwenye usaili utakaofanyika tarehe 30/05/2022 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa.

Nafasi ya kazi inayohusika: Mtendaji wa Kijiji Daraja III (Nafasi 6)

Click Hapa kuona tangazo kamili pamoja na rodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili

Post a Comment

0 Comments