Type Here to Get Search Results !

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA IKUNGI

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA IKUNGI


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi anawatangazia wafuatao kuwa wanatakiwa kuhudhuria usaili wa maandishi na wa ana kwa ana kwa nafasi waliyoomba ya Katibu Mahsusi Daraja III na Mtendaji wa Kijiji Daraja III. Usaili huo utafanyika kuanzia tarehe 22/04/2021 hadi tarehe 23/04/2021.

>>Orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili<<

Post a Comment

0 Comments