Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara anawatangazia nafasi za kazi Wananchi wote wa Tanzania wenye sifa za kuajiriwa kama inavyoonekana hapa chini:-
1. Mtendaji wa Kijiji Daraja la III nafasi 02
2. Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II nafasi 01
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 25/04/2021 saa 9:30 alasiri.