Type Here to Get Search Results !

Fursa 1 ya Ajira kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, MSAIDIZI WA HESABU (ACCOUNTS ASSISTANT)

Fursa 1 ya Ajira kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, MSAIDIZI WA HESABU (ACCOUNTS ASSISTANT)


Halmashauri ya Wilaya ya Musoma inahitaji mtu wa kujaza nafasi wazi ya ajira ya Msaidizi wa Hesabu ( Accounts Assistant) mwenye uwezo wa kufanya amajukumu yafuatayo;

  • Kuandika na kutunza “register” zinazohusu shughuli za uhasibu;
  • Kutunza Kumbukumbu za hesabu;
  • Kupeleka barua/nyaraka za uhasibu Benki; na
  • Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

SIFA NA UZOEFU VINAVYOHITAJIKA;
Uwe na Cheti cha Astashahada ya Uhasibu kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali au Cheti cha  ATEC I kinachotolewa na NBAA au sifa zingine zinazolingana na hizo zinazotambulika na NBAA.

NGAZI YA MSHAHARA: TGS B


Post a Comment

0 Comments