Type Here to Get Search Results !

Fursa za Ajira Mtendaji wa Kijiji Daraja la III, Zipo nafasi 2 Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji July, 2021

Fursa za Ajira Mtendaji wa Kijiji Daraja la III, Zipo nafasi 2 Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji July, 2021


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji anakaribisha maombi ya kazi kwa wananchi wa Tanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi ya Watendaji wa Kijiji Daraja la III katika Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji.

Zaidi kuhusu sifa za mwombaji, kazi na majukumu, ngazi ya mshahara na jinsi ya kutuma maombi, tafadhali SOMA HAPA.

NB: Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 25 Julai 2021

Tangazo hili la ajira linapatikana kwenye tovuti ya Ajira.go.tz na www.rufijidc.go.tz.

Post a Comment

0 Comments