Type Here to Get Search Results !

MKADIRIAJI UJENZI DARAJA II - Nafasi 1 ya kazi Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

MKADIRIAJI UJENZI DARAJA II - Nafasi 1 ya kazi Halmashauri ya Wilaya ya Nzega


POST: MKADIRIAJI UJENZI DARAJA II

POST CATEGORY(S):  Nafasi za kazi za Halmashauri

EMPLOYER: Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (NZEGA DC)

CLOSING: 2021-06-20


DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i.Kufanya kazi chini ya uangalizi wa Mkadiriaji Ujenzi aliyesajiliwa na Bodi ya usajili husika kama “Professional Quantity Surveyor” ili kupata uzoefu unaotakiwa;

ii.Kufanya kazi kwa vitendo katika fani zinazomhusu ili kumwezesha Mkadiriji Ujenzi kupata sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili inayomhumsu;

iii.Kukusanya taarifa na takwimu kuhusu miradi mbalimbali kuhusu bei za vifaa vya Majengo ndani na nje ya nchi;

iv.Kupitia mapendekezo ya miradi (project proposals) mbali mbali ya Majengo yanayowasilishwa kwenye Halmshauri ya Wilaya na kutoa ushauri unaotakiwa; na 

v.Kazi nyingine kama atakavyoagizwa na Msimamizi wake wa kazi. 


QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya juu ya Ukadiriaji ujenzi (Bachelor in Quantity Surveying) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.


REMUNERATION: TGS E


CLICK HERE TO APPLY


Post a Comment

0 Comments