Wasailiwa waliochaguliwa(SELECTED) kuendelea na hatua inayofuata ya usaili wanatakiwa kuzingatia muda na sehemu ya kufanyia usaili kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.
Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
MUHIMU :USAILI WA VITENDO UTAFANYIKA KESHO TAREHE 18-04-2021 SIKU YA JUMAPILI